D Didododi JF-Expert Member Jul 21, 2023 321 426 Oct 12, 2023 #1 Habari mdau wangu, Pole na hekaheka. Leo Sina mengi zaidi tu ya kukukumbusha kwamba unachokifata kwa mchepuko wajuba wanakipata kwa mkeo. Tena kiukaini kabisa usijesema sjakusanua.
Habari mdau wangu, Pole na hekaheka. Leo Sina mengi zaidi tu ya kukukumbusha kwamba unachokifata kwa mchepuko wajuba wanakipata kwa mkeo. Tena kiukaini kabisa usijesema sjakusanua.