Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,493
Tanzania vitambulisho vimekua vingi mno. Mie ninavyo vifuatoavyo:
1. Cha kuzaliwa
2. TIN
3. NIDA
4. Cha kazi
5. Lesen ya kazi
6. Leseni ya udereva
7. Kadi ya NMB
8. Kadi ya CRDB
9. Kadi ya Azam
10. Kadi ya Luku
11. Kadi ya NMB saving
12. Kadi ya Mpiga Kura
13. Kitambulisho cha ubatizo
14. Passport
15. Bima 2 za afya!
Nikibeba Vyote najaza mfuko wa Magufuli wa Mia 3!!
1. Cha kuzaliwa
2. TIN
3. NIDA
4. Cha kazi
5. Lesen ya kazi
6. Leseni ya udereva
7. Kadi ya NMB
8. Kadi ya CRDB
9. Kadi ya Azam
10. Kadi ya Luku
11. Kadi ya NMB saving
12. Kadi ya Mpiga Kura
13. Kitambulisho cha ubatizo
14. Passport
15. Bima 2 za afya!
Nikibeba Vyote najaza mfuko wa Magufuli wa Mia 3!!