Mtu mzito
JF-Expert Member
- May 13, 2016
- 1,779
- 3,180
- Thread starter
- #4,501
Farka hii (uchawi wa kufarakanisha) kwa Dini ya Kiislam ni vema kufanyiwa Dua na Visomo hapo nyumbani kufukuza uadui na shari za ulimwengu.Nini nifanye ili tushinde haya majaribu...
Kwa Dini ya Kikristo ni vema kufanyiwa maombi maalum kuondoa shari hii.
Katika utibabu njia ya awali tafuta Haltiti, kaafur mait na muosha fedha zitakusaidia, ila kama ni uchawi mkali sana itabidi tiba ifanyike.