jumamsimbe
Member
- Feb 11, 2016
- 44
- 9
Duh Hatari
Wapo wachungaji na manabii wa zama hizi nawaona wakihubiri habari hizo hapa bongo, rabda ukawaone wao kwa uthibitisho zaidiMkuu...kuna ndugu yang nahis kachukuliwa msukule na mzee fulan ..ntawezaje kujua ukwel wa hilo bila kwenda kwa mganga?
mizimu ni majinni yaliokaa sehemu flani (kijiji mkoa au nchi) na kufahamu tamaduni za eneo husika kisha kizirithisha kizazi hadi kizazi yaani kutoka kwa babu wa babu zako nawe ukiwafuata utawarithisha wanao na wajukuu zako
Rubii nilishamroga
ndio muheshimiwa...sijakutia machoni humu kitambo...uko mtaa gani?Unaniita mheshimiwa?
Mimi sio mganga, ingawaje zipo taaluma za jadi zenye kujihusisha na mambo kama hayo
Haya niambie nini maana ya MWASAKAFYUKA huku ukihusisha na MAZIVU ya mwanamke ili kunogesha tendo la ngono,ukijibu hili swali nitakuombea cheti cha ufaulu wa elimu ya uchawi (witchcraft,wizardry,and the ultimate effect of all), kutoka kwa muheshimiwa Mkuu Mshana JR JUJU MAN,akutunukie chet hicho cha uzamili.Kama zinavyogongana ndege angani ndivyo wachawi huweza kujikuta katika njia moja na hapo ni mawili, ama busara kutumika ama kuonyeshana uwezo.
Mimi na hao wenzangu uliowataja sio wachawi
Yaani hujamtia machoni? khaaa ushindwe kwa nguvu za BWANA .ndio muheshimiwa...sijakutia machoni humu kitambo...uko mtaa gani?
Juju manHaya niambie nini maana ya MWASAKAFYUKA huku ukihusisha na MAZIVU ya mwanamke ili kunogesha tendo la ngono,ukijibu hili swali nitakuombea cheti cha ufaulu wa elimu ya uchawi (witchcraft,wizardry,and the ultimate effect of all), kutoka kwa muheshimiwa Mkuu Mshana JR JUJU MAN,akutunukie chet hicho cha uzamili.
Hujapatia mkuu,jaribu tena,bado una nafasi mbili.Juju man
Sina maana hiyo mkuu,usije nichonganisha na Muheshimiwa Mshana JR,hiyo ilikua ni kukoleza habari kisanii tu,ila namkubali Mkuu Mshana JR kwa taaluma ya mambo ya Kuzimu.Naona umembandika jamaa jina la juju man
ndio muheshimiwa...sijakutia machoni humu kitambo...uko mtaa gani?
asee jina pendekeza...kimeshamea hapo tumboni?Nimejaa mtaa wetu ule ule tunaochepukiaga... vipi ulishapata jina la
mtoto au tuanze ana ana do!
Zongo ni aina ya uchawi ambao aliyefanyiwa huvimba tumbo na mda mwengine pia kuharisha au choo kuwa kigumu, uchawi huu mara nyingi mrogaji hupaka kama wanja na akikukonyeza tayari umekupata.Zongo ni nini?
Mtu anapigwaje zongo na anawezaje kujinasua?
asee jina pendekeza...kimeshamea hapo tumboni?
Wakuu mnaharibu uzi aisee bora hata mngechat mambo yenu privately maana hayahusiani na mada husikaNimejaa mtaa wetu ule ule tunaochepukiaga... vipi ulishapata jina la
mtoto au tuanze ana ana do!