20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
+255 762 772 706Mwenye no ya mtu mzito tafadhali anipatie.
+255 762 772 706Mwenye no ya mtu mzito tafadhali anipatie.
0762772706 (alishaiweka humu ndani kwenye post za nyuma)Mwenye no ya mtu mzito tafadhali anipatie.
Je ni namna gani hiyo nguvu ya Olive oil na kitunguu saumu inavyoweza kuharibu au kutengeneza ?Ni vitu vyenye nguvu kubwa katika uchawi na uganga, nguvu hiyo inaweza kutumiwa kuharibu au kutengeneza.
mkuu naomba kujua
1.waganga hua wana andika nini pale kwenye vitabu au hua wana tazama nini pale kwenye vioo vyao pindi unapokua una muelezea matatizo yako
Jibu;
Huwa wanaangalia tatizo la mteja kupitia elimu mbali mbali za utambuzi (falaq)
2.je wakati mtu anapo piga ramlii kuja mambo yatayo kuja tokea huko siku za usoni na mganga ana anza kumuelezea yatayo tokea ni nini hua kina mpa yule mgaga nguvu ya kujua mambo yale
Jibu; ni njia za elimu ya utambuzi, dunia ina elimu nyingi sana za siri na dhahiri na iwapo zingekuwa zinazingatiwa elimu za namna hii mengi tungeyaepuka.
3.Je hizi dawa za kumvuta mpenzi zinaweza kufanya kazi iwapo unae mkusudia yuko mbali na wewe mathalani mko mabara tofauti
Jibu; Naam zinaweza kufanya kazi ila pia inategemea na dawa zenyewe maana zipo za namna mbalimbali.
4.je dawa ya kupata utajiri wa haraka hua ina masharti gani na ni vitendea kazi vp hua vinahitajika
Jibu; kwa ujumla kazi za aina hiyo ziko za namna tofauti kulingana na utaalam wa mganga husika, si vema sana kuzungumzia.
Nime jaribu kupitia uzi kwa kina ila sija fanikiwa kuona haya maswali hivyo naomba uni funue mkuu
Dawa za namna hii zipo na mifano ipo wazi kwa baadhi ya watu humu humu Jf, pengine wangetoa ushuhuda ila mambo haya ni siri si kila mtu anapenda ajulikane iwapo amewahi kufanya chochote katika tiba za jadi.Mkuu mtu mzito, unaweza kunisaidiaje kupata dawa ya kuwashikisha adabu wizi, vibaka na majambazi, wakiiba warudishe wenyewe
Naku-pm mkuu mtu mzito, tuongee hili swala vizuriDawa za namna hii zipo na mifano ipo wazi kwa baadhi ya watu humu humu Jf, pengine wangetoa ushuhuda ila mambo haya ni siri si kila mtu anapenda ajulikane iwapo amewahi kufanya chochote katika tiba za jadi.
Mtu mzito mbona umeruka maswali haya hasa swali la mwishomkuu naomba kujua
1.waganga hua wana andika nini pale kwenye vitabu au hua wana tazama nini pale kwenye vioo vyao pindi unapokua una muelezea matatizo yako
2.je wakati mtu anapo piga ramlii kuja mambo yatayo kuja tokea huko siku za usoni na mganga ana anza kumuelezea yatayo tokea ni nini hua kina mpa yule mgaga nguvu ya kujua mambo yale
3.Je hizi dawa za kumvuta mpenzi zinaweza kufanya kazi iwapo unae mkusudia yuko mbali na wewe mathalani mko mabara tofauti
4.je dawa ya kupata utajiri wa haraka hua ina masharti gani na ni vitendea kazi vp hua vinahitajika.
Nime jaribu kupitia uzi kwa kina ila sija fanikiwa kuona haya maswali hivyo naomba uni funue mkuu