BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
DuhSwali langu, hv zile ngoma za usiku za kichawi huwa nazisikuaga sna huku kwetu maana kwa wachawi ndo penyewe
Je nikitaka kuzifuata na kuoana wachawi wanavyofanya ntawezaje kufika huko kwenye ngoma zao! je na madhara gani naweza kupata nikikutana nao live!!!