GE2025 Una maoni gani na Kampeni za Uchaguzi 2025 kugeuka vitisho badala ya kuuza sera?

GE2025 Una maoni gani na Kampeni za Uchaguzi 2025 kugeuka vitisho badala ya kuuza sera?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
GT.
Mimi nashuhudia maajabu tu. Hakuna sera ni vitisho tu aha ha ha ha 😂 😆 🤣 nyie maCCM nani kawaambia sisi tunapiga kura.

Kazi mnayo mwaka huu. Uchaguzi wenu ni wa mchongo. Haukubaliki duniani na mbinguni hatuji, kupiga kura..
Hamna sera mmebaki kutisha tisha watu hovyo bure kabisa.
 
Hata wao wenyewe kunasaa huwa wanajistukia , yule Mzee nae ameanza style ya Kagame yakujifichaficha ndani ili akija kuibuka azue gumzo ,ila madrama mengine unaweza kudhani wahusika nimataahira .
 
GT.
Mi nashuhudia maajabu tu. Hakuna sera ni vitisho.tu aha ha ha ha 😂 😆 🤣 nyie maCCM nani kawaambia sisi tunapiga kura.

Kazi mnayo mwaka huu. Uchaguzi wenu ni wa mchongo. Haukubaliki duniani na mbinguni hatuji.kupiga kura..
Hamna sera mmebaki kutisha tisha.watu hovyo bure kabisa.
Mimi sina maoni.
 
29 October nipate kama hii niwaonyeshe show
 
GT.
Mi nashuhudia maajabu tu. Hakuna sera ni vitisho.tu aha ha ha ha 😂 😆 🤣 nyie maCCM nani kawaambia sisi tunapiga kura.

Kazi mnayo mwaka huu. Uchaguzi wenu ni wa mchongo. Haukubaliki duniani na mbinguni hatuji.kupiga kura..
Hamna sera mmebaki kutisha tisha.watu hovyo bure kabisa.
Mambo ya uongo haya tija kwa faida! Ungetumia muda wako kutafuta hoja za kweli
 
Kuna mgombea hadi kawapigia magoti wananchi wajitokeze tarehe 29 kupiga kura wasiandamane
 
1000068374.jpg

1000067140.jpg
 
Back
Top Bottom