The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
GT.
Mimi nashuhudia maajabu tu. Hakuna sera ni vitisho tu aha ha ha ha 😂 😆 🤣 nyie maCCM nani kawaambia sisi tunapiga kura.
Kazi mnayo mwaka huu. Uchaguzi wenu ni wa mchongo. Haukubaliki duniani na mbinguni hatuji, kupiga kura..
Hamna sera mmebaki kutisha tisha watu hovyo bure kabisa.
Mimi nashuhudia maajabu tu. Hakuna sera ni vitisho tu aha ha ha ha 😂 😆 🤣 nyie maCCM nani kawaambia sisi tunapiga kura.
Kazi mnayo mwaka huu. Uchaguzi wenu ni wa mchongo. Haukubaliki duniani na mbinguni hatuji, kupiga kura..
Hamna sera mmebaki kutisha tisha watu hovyo bure kabisa.