Na ulinzi wenyewe usiishie tu kwenye hayo maeneo ya biashara bali uimarishwe sehemu zote za jiji. Kama ulinzi utaimarishwa kwenye maeneo ya biashara pekee yake kuna uwezekano mkubwa kwa wanunuzi wa bidhaa zinazouzwa maeneo hayo ya biashara kuporwa, kujeruhiwa na hata kuuawa na vibaka au majambazi wakiwa njiani au wanapofika getini majumbani mwao nyakati za usiku.vipi kuhusu ulinzi,,?
tuna askari wa kutosha kukidhi ulinzi unaostahili,,?
tusikurupuke tukawapa sherehe panya road
HahahahNi wazo zuri sana, tena kama wanaweza kuongeza masaa zaidi yahapo itakua vizuri zaidi!!!
Sent using Jamii Forums mobile app