Habari za jioni wanaJF,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.
Katika kuzingatia sherehe mbalimbali watu wengi wamekuwa wakipata shida sana hasa wanapokuwa na sherehe za aina tofauti ambazo huhitaji maandalizi ili kuzifanikisha. Sherehe hizo ni kama vile harusi, kitchen part, send off, kipa imara, ubatizo na nyingine zinazofanana na hizo.
Unapokuwa na sherehe kama hiyo usihangaike wala kuumiza kichwa ukijiuliza ni wapi utapata huduma unayoihitaji katika sherehe yako.
Sisi tupo ili kukupatia taarifa ya wapi utapata huduma yoyote unayoitaka. Iwe ni wapi utafanyia vikao vya sherehe, chakula, vinywaji, MC, Mapambo, ukumbi, Cake, Card za mialiko, mavazi ya sherehe, video, picha, wahudumu wa sherehe, muziki pamoja na chochote utakachokihitaji kwenye sherehe yako.
Unachotakiwa kufanya ni wewe kutuma ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) au kupiga simu ukielezea ni huduma gani ambayo unaihitaji kwenye shuguli yako.
Tutakachohitaji kujua ni tarehe ya sherehe, idadi ya watu wanaotarajiwa kufika, bajeti na mahali ambapo sherehe hiyo itafanyika.
NB: Tunapenda kujua Bajeti yako ili iwe rahisi kutafutia huduma inayoendana na bajeti yako.
KUMBUKA HUDUMA HII NI BURE KABISA HUTALIPIA CHOCHOTE.
Kwa mawasiliano zaidi tuma SMS au piga simu0685-701323
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.
Katika kuzingatia sherehe mbalimbali watu wengi wamekuwa wakipata shida sana hasa wanapokuwa na sherehe za aina tofauti ambazo huhitaji maandalizi ili kuzifanikisha. Sherehe hizo ni kama vile harusi, kitchen part, send off, kipa imara, ubatizo na nyingine zinazofanana na hizo.
Unapokuwa na sherehe kama hiyo usihangaike wala kuumiza kichwa ukijiuliza ni wapi utapata huduma unayoihitaji katika sherehe yako.
Sisi tupo ili kukupatia taarifa ya wapi utapata huduma yoyote unayoitaka. Iwe ni wapi utafanyia vikao vya sherehe, chakula, vinywaji, MC, Mapambo, ukumbi, Cake, Card za mialiko, mavazi ya sherehe, video, picha, wahudumu wa sherehe, muziki pamoja na chochote utakachokihitaji kwenye sherehe yako.
Unachotakiwa kufanya ni wewe kutuma ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) au kupiga simu ukielezea ni huduma gani ambayo unaihitaji kwenye shuguli yako.
Tutakachohitaji kujua ni tarehe ya sherehe, idadi ya watu wanaotarajiwa kufika, bajeti na mahali ambapo sherehe hiyo itafanyika.
NB: Tunapenda kujua Bajeti yako ili iwe rahisi kutafutia huduma inayoendana na bajeti yako.
KUMBUKA HUDUMA HII NI BURE KABISA HUTALIPIA CHOCHOTE.
Kwa mawasiliano zaidi tuma SMS au piga simu0685-701323