Please naomba utueleze hiyo tracker itakuwa based kwenye principle gani
kama ni satelite based (GPS)lazima kuwe na monthly payment na hizo speed sensors zitakuwa zinatuma sms from which account? Plz be serious
Weka bei watu wa huku mbinga hatuelewi
Je mna matawi mikoani zaidi ya Dsm??
Weka bei watu wa huku mbinga hatuelewi
Mkuu uko mbinga eeh! I like the place,hali ya hapo ni bomba sana
Basi ISECURE INVESTMENT imekulete car tracking system itakayo kuwezesha kukupa taarifa ya gari yako na kupata nafasi ya kuwa karibu na gari kupitia simu yako ya mkononi, kifaa kitakuwezesha kufanya vitu vifuatavyo .
1. Kuzima gari kupitia simu
2. Kuzuia kuwasha gari
3. Kujua mahali gari lilipo na speed yake.
4. Kukupa taarifa ikiwa milango imefunguliwa isivyo halali
5. Kujua matumizi ya mafuta,
6. Kujua ikiwa gari linawashwa au linazimwa
7. Kujua kama gari kama gari linaendeshwa kwa mwendo hatarishi.
Gharama ni nafuu sana , kwa mawasiliano piga simu namba 0714890018 au email isecure24@ymail.com au jmgullu@gmail.com.
Unaweza kuuliza na kujibiwa maswali yako kwenye hii thread
kuwa muwazi mzee je hio system inaweza fanya kazi bila network ya cmu mfano nimeweka line ya tigo siku hio gari imewkenda sehemu ambayo hakuna mtandao wa tigo je nitapata nitaweza jua speed ya gari au hio system inategemea sehemu zenye mtandao tu?
Na kama ni hivyo huoni kuwa kwa tanzania haitaweza fanya kazi vizuri kwa sababu mitandao ipo mjini tu au mtandao wa tigo ukiwa chalinze kahama hakuna tigo kuna zaini mtwara hakuna zain kuna airtel naomba ufafanuzi zaidi
Kutokana na wizi wa Magari Hiyo ni system nzuri. Kufunga nitakutafuta unifungie Je inachukua muda gani kufunga?
Wewe unalo gari?
ina maana ninyi hamna hata ofisi? mnapatikana wapi sasa?Basi ISECURE INVESTMENT imekulete car tracking system itakayo kuwezesha kukupa taarifa ya gari yako na kupata nafasi ya kuwa karibu na gari kupitia simu yako ya mkononi, kifaa kitakuwezesha kufanya vitu vifuatavyo .
1. Kuzima gari kupitia simu
2. Kuzuia kuwasha gari
3. Kujua mahali gari lilipo na speed yake.
4. Kukupa taarifa ikiwa milango imefunguliwa isivyo halali
5. Kujua matumizi ya mafuta,
6. Kujua ikiwa gari linawashwa au linazimwa
7. Kujua kama gari kama gari linaendeshwa kwa mwendo hatarishi.
Gharama ni nafuu sana , kwa mawasiliano piga simu namba 0714890018 au email isecure24@ymail.com au jmgullu@gmail.com.
Unaweza kuuliza na kujibiwa maswali yako kwenye hii thread
ina maana ninyi hamna hata ofisi? mnapatikana wapi sasa?
kwa wale ambao mnahitaji mnaweza weka oda yenu sasa wakati vifaa vikisubiri kuingia .weka oda kwa kupiga simu namba 0714890018
Mambo ya oda weka kando kwanza,
Price range??
50 Years of In-dependency Tanzania tunawezaaaaa!
:lol::lol::lol: