GENTLEMAN S
Member
- Feb 19, 2014
- 47
- 8
Habari za muda huu ndugu wanajf,
mimi ni kijana mwenye familia tayari,
nimefanya kazi na kampuni moja ila ikapunguza wafanyakazi,
nina ujuzi wa kuendesha magari aina zote nina leseni daraja la 2(class C ),pia ni fundi magari,
ninahitaji msaada wenu uwe wa mawazo wa kazi au wa mkopo niweze kuanza biashara,
kwa mtu mwenye gari ninaweza kumfanyia biashara na kumpatia kiasi kizuri cha pesa,
pia ninaweza kufanya kazi aina yeyote iliyo halali..
Tafadhali nisaidieni,familia yangu inateketea.
mimi ni kijana mwenye familia tayari,
nimefanya kazi na kampuni moja ila ikapunguza wafanyakazi,
nina ujuzi wa kuendesha magari aina zote nina leseni daraja la 2(class C ),pia ni fundi magari,
ninahitaji msaada wenu uwe wa mawazo wa kazi au wa mkopo niweze kuanza biashara,
kwa mtu mwenye gari ninaweza kumfanyia biashara na kumpatia kiasi kizuri cha pesa,
pia ninaweza kufanya kazi aina yeyote iliyo halali..
Tafadhali nisaidieni,familia yangu inateketea.