Una experience gani mbaya au nzuri kuhusu kukaa kwa ndugu?

Njooni mumuone ndugu mwingine huyu
 
Mzee alikuwa hana uwezo nn, au ujana ulikuwa mwingi akakwepa majukumu
 
Mzee alikuwa hana uwezo nn, au ujana ulikuwa mwingi akakwepa majukumu
Ujuaji tu ila.
Sio mtu wa kuelimika hata elimu ya mtaani ya namna ya kupambana hata kama hajapata elimu ya darasani(hajasoma hata darasa la kwanza). Hakutaka kabisa kutupeleka shule, alipeleka shule watoto 2 tu wa mwanzo. Wengine alikataa ila tumeipata kupitia kwa watu wengine.
 
Hisia zimezirai polee ndugu wengine mtihani kweli
 
Malezi ya ajabu sana mno sitaki hata kuyakumbuka asante BABU kwa ile caring yako unahakikisha nimekula nimeshiba ndio nirudi nyumbani nikalale tuu na hapo na maji ya kunywa unanipa mimi inakuwa ni kitanda tuu na mahali pa kuoga na kubadili the rest are history.
Asante dunia niliiona na kuijua na kila mara nashukuru kwa kunipokea ila daaah Mungu anajua huna mia hutakula wala kunywa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…