Una Boy Friend?

Una Boy Friend?

Kiresua

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2009
Posts
1,183
Reaction score
261
Mrembo mmoja alipokea cm ya namba ngeni na mazungumzo yakawa hivi ;-

NAMBA NGENI: hallow, una boyfriend..??

MREMBO: ndio ninae kwn wee nan ??

NAMBA NGENI: mimi baba ako kumbe una boyfriend nikirud utanitambua.

....simu ikakatika...


Mrembo akiwa na mawazo nini afanye simu ikaita
tena kwa namba ngeni tofauti na ya mwnzo:

NAMBA NGENI: hallow, una boyfriend??

MREMBO: hapana cna.

NAMBA NGENI: vipi mpenzz?? Ina maana
umensaliti??

MREMBO: hapana bby nlijua baba kanipigia simu sasa hiv.

NAMBA NGENI: ni mimi baba yako, nilitaka kuhakikisha tu kama kweli una boyfriend, nakwambia utanikoma leoo!

Enjoy!!
 
Ahaa...haaa... We mkaree imebidi nihairishe kucheki mechi kwa muda.
 
haha hahaha hah ha hhaaaaaaaaaa!!!!!!!!! hyo ni zaid ya kali binti hatopokea sim tenah huyo especialy namba ngeni
 
Msinisifie sana jamani, nilitaka nihakikishe tu kama mwanangu bado ana password au imeondolewa tayari, manake kuna kibopa wa serikali ameniahidi sehemu ya chenji ya rada akimkuta na password.

Hapa nilipo nina machungu ya kukosa kitita....
 
Kwa wadada wa sasa kuikuta password mmhh labda umsaini ndani ndani ila kwa hapa mjini dharulaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom