UN wamuhoji Waziri wa Mambo ya Nje juu ya suala la Zanzibar

ACHA WATWAJIBISHE TUJIFUNZE
 
Tuwe makini na America!! hawa wanajifanya watawala Wa dunia lakini siwema hata kidogo!! sasa kama ndo hivo wale walimi 50 wakufundisha sayansi wanakuja kufanya nini kama siyo kupeleleza Uhuru wetu nakutaka kutufanya kama Libya , siria na Saddam!! tunazo taarifa kuwa wanapenyeza ushoga ndani ya taifa letu!! hata wakiondoa misaada yao hatufi!!! halafu wapinzani waache ujinga wakujivua nguo!!halafu hao wamerica where did they get evidence kuwa Zanzibar walipokw ushindi(Cuf) ?ushahidi from one side?? that must be Creasy!!!
 
Uzi wako hauna evidence unajifariji tu... ata hivo marekan hawezi kushadadia tanzania wakati anaona burundi, syria na kwngneko
 
Uchafu umetuwekea, umesababisha mpaka nitapike. Hivi marekani ni kiumbe gani?
 
Nahisi wewe jamaa ubongo wako umekaa tenge maana sioni unapoalekea.Yaani unachokiongea sijui kama kinalenga hiyo post.Huyu jamaa ametoa post bila kujipambanua kikada lakini wewe umeshamtafutia kundi.Kwa mhemko ulioonesha ni wazi kuwa haja yako inagonga nguo ya ndani mpaka sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…