iamthomas
Member
- Aug 29, 2022
- 65
- 52
Lipa namba ipo kwaajili ya kumpa Nafuu Mfanyabiashara, Mteja akija kwako analipa Gharama ndogo lakini pia ww ukienda kutoa pesa unatoa Gharama ndogo na kama pesa ipo chini ya laki tano unayotoa haukatwi, na upande wa Voda hamna makato kwa kiwango chochote unachotoa,, hii inafaa wale wanaofanya biashara online
Lakini pia Mawakala huitumia kujitengenezea Faida kwa sababu ina makato madogo ya kutoa ivo mteja akija kutoa kwake anapata Faida ya 1000 au 1500 muamala mmoja hii inakua na faida kuliko commission, kama ushawahi kutoa kwa njia ya lipa kwa wakala kama ulikua unataka kutoa 4000 atakuambia andika 5000 asa ile buku ndo yake ivo lakini pia mteja anakua kapata nafuu ya makato somehow.
Mwenye Cha kuongeza aongeze Uwanja Upo wazi
Unaweza npigia nkutengenezee lipa ya Airtel cha muhimu uwe na laini ya Airtel na 10,000 Na inalipa Mitandao yote.
Contact: 0743546090
Lakini pia Mawakala huitumia kujitengenezea Faida kwa sababu ina makato madogo ya kutoa ivo mteja akija kutoa kwake anapata Faida ya 1000 au 1500 muamala mmoja hii inakua na faida kuliko commission, kama ushawahi kutoa kwa njia ya lipa kwa wakala kama ulikua unataka kutoa 4000 atakuambia andika 5000 asa ile buku ndo yake ivo lakini pia mteja anakua kapata nafuu ya makato somehow.
Mwenye Cha kuongeza aongeze Uwanja Upo wazi
Unaweza npigia nkutengenezee lipa ya Airtel cha muhimu uwe na laini ya Airtel na 10,000 Na inalipa Mitandao yote.
Contact: 0743546090
karibu