Umuhimu wa kukaa ghetto

Umuhimu wa kukaa ghetto

Dah aisee, ukiwa na huruma sana geto linakua hostel
Ni kuweka misimamo tu, mi ghetoni kwangu siruhusu washikaji kuja kulitumia, gheto ni kwa ajili yangu na siruhu wadau kuja kushinda gheto kama sehemu ya kupumzika.
Lipe heshima gheto lako, demu aje wa kwako tu, ila mashikaji wasije na mademu zao. Then jiweke busy na mishe zako mshikaji akihitaji kuja gheto mwambie subir nirudi..
La Sivyo hautakua huru na gheto lako.. Mi nawapiga chini masela wengi tu, mtu anakuja kulala ghetoni kwako bila sababu maalumu, haiwezekani bhana. Akalale gheto kwake au kama hana gheto akomae kwao.
 
ila mkuu mbona kama umetoka kwenye ban
Ni kuweka misimamo tu, mi ghetoni kwangu siruhusu washikaji kuja kulitumia, gheto ni kwa ajili yangu na siruhu wadau kuja kushinda gheto kama sehemu ya kupumzika.
Lipe heshima gheto lako, demu aje wa kwako tu, ila mashikaji wasije na mademu zao. Then jiweke busy na mishe zako mshikaji akihitaji kuja gheto mwambie subir nirudi..
La Sivyo hautakua huru na gheto lako.. Mi nawapiga chini masela wengi tu, mtu anakuja kulala ghetoni kwako bila sababu maalumu, haiwezekani bhana. Akalale gheto kwake au kama hana gheto akomae kwao.
 
Dah aisee, ukiwa na huruma sana geto linakua hostel
Yaaap ukiwa na huruma sana litageuka gest bubu, misosi utanunua kila siku, m nilishakua na mshikaji fulani tulikutana tu nilipoanza kukaa gheto, jmaa ratiba za msosi zote kwangu, anakuja kugongea tu daily... Sikua na shida kwenye chakula tatizo akifika nimekula anataka nimpikue hapo ndo tulishindana..
Mda mwingine anakuja kupiga story ikifika saa 4 analala gheto kwangu. Siku nyingine kapata demu akaniomba gheto alitumie xx hapi ndo nikaona mazoea yamezidi, gheto langu lenyewe siingizi mademu yy ndo alitumie kisa ni mshikaji wangu.. Nikampa big NO.
Nikapunguza mazoea, kila akiuliza niko wap namwambia niko mishemishe mpaka saa 6 usiku
 
Hahahaha imenitokea hyo kodi imeisha, gesi imeisha na msosi umeisha, halagu hela nayo itegema ni ya kumdai mtu tena ni mtu mzima nimemdai akasrma nisubir kdgo, halafu akaenda kwa baba yangu mzazi akamuomba amsaidie kuniambia kua nimsubiri kwa miezi 2. Atanilipa
Yaan daaaaahhhh inafikirisha hyo.
Dah hii kero nisiyoipenda kodi inaisha na gesi nayo imeisha ni hatari
 
Hahahaha imenitokea hyo kodi imeisha, gesi imeisha na msosi umeisha, halagu hela nayo itegema ni ya kumdai mtu tena ni mtu mzima nimemdai akasrma nisubir kdgo, halafu akaenda kwa baba yangu mzazi akamuomba amsaidie kuniambia kua nimsubiri kwa miezi 2. Atanilipa
Yaan daaaaahhhh inafikirisha hyo.
ety kaenda kwa baba mzazi, kwani yeye ndo alimkopa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom