DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Umri wa miaka ' 50 ' ni umri sahihi wa ukomavu wa kiakili na kihisia.
Ukimkuta MTU ambaye yupo ghorofa ya tano anakuwa amekomaa Sana akili na hisia anakuwa na EI kubwa na IQ kubwa.
Miaka hamsini ni umri wa unaokuja na hekima Sana .
Hii unaweza kuona kupitia familia ,marfiki na wewe mwenyewe ikiwa umeshafika hapa ghorofa ya tano.
We need to Cherish every-single moment. But fifties is blessing Age.
Na ukifika 50 avoid mambo yote yanayoweza kuharibu akili na Afya ya mwili.
Ukimkuta MTU ambaye yupo ghorofa ya tano anakuwa amekomaa Sana akili na hisia anakuwa na EI kubwa na IQ kubwa.
Miaka hamsini ni umri wa unaokuja na hekima Sana .
Hii unaweza kuona kupitia familia ,marfiki na wewe mwenyewe ikiwa umeshafika hapa ghorofa ya tano.
We need to Cherish every-single moment. But fifties is blessing Age.
Na ukifika 50 avoid mambo yote yanayoweza kuharibu akili na Afya ya mwili.