MEING'ATI
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,212
- 1,009
Hi wadau!
Naomba kueleweshwa kwa wadau kuhusu hii kitu inaitwa mgambo. Je umri wa kujiunga ni kuanzia miaka mingapi?
Na je mtu ambaye hapaswi kujiunga anatakiwa awe na miaka mingapi? Pia je kama mtu ana matatizo kama maginjwa ya akili na magonjwa kama kifua figo na ini anaruhusiwa?
Mwisho kuna tetesi hao wanawapigaga raia hadi kufa na hata kupata kilema ya kudumu je pa kuwashtaki ni wapi?
Naomba kueleweshwa kwa wadau kuhusu hii kitu inaitwa mgambo. Je umri wa kujiunga ni kuanzia miaka mingapi?
Na je mtu ambaye hapaswi kujiunga anatakiwa awe na miaka mingapi? Pia je kama mtu ana matatizo kama maginjwa ya akili na magonjwa kama kifua figo na ini anaruhusiwa?
Mwisho kuna tetesi hao wanawapigaga raia hadi kufa na hata kupata kilema ya kudumu je pa kuwashtaki ni wapi?