Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,114
- 55,531
Mchezaji wa kenya amezaliwa Januari 31, 1992,je unaweza kuamini ana miaka 27?unahisi ni kitu gani kimemkuza hivi?
Haha huyu kama baba yangu mbonaDuuu hapana si wa 92 huyo
ha ha ha haMm nahisi kibilogia itakuwa ni HOMON
ha ha ha ha 92 mkuuNi 92 au 29 hebu tuwe serious
Nimeshindwa kuamini,au anapenda chini sana..kwa sababu nasikia wanaopenda sana huko uzeeka haraka.Duuu hapana si wa 92 huyo
Inawezekana alidanganya katika usajili kama si kweli92?? Labda ya Before Christ.
Hyo yupo over 45 Age.Inawezekana alidanganya katika usajili kama si kweli
kuna uwezekano huoHyo yupo over 45 Age.
Mzee wangu tu hana muonekano huo lakn sio wa 80 ni 70skuna uwezekano huo
Inawezekana huyu mchezaji alikuwa anapiga sana mashine kwa waliochokaMzee wangu tu hana muonekano huo lakn sio wa 80 ni 70s
Sawa,je kwa miaka hiyo na huo muonekano ni sawa?Kwani aliyezaliwa 92 mdogo?
Maika 27 mingi sana
Sawa,je kwa miaka hiyo na huo muonekano ni sawa?
Ila mkuu sishangai sana japo mm nipo visevesa...umri wangu umeenda ila nina mwili mdogo mfupi alaf sura nayo ndo ivo imegoma kukomaa japo ndo ivo miaka inakwenda...in general naonekana mtoto kabisa ata shule ya msingi naweza rudiSawa,je kwa miaka hiyo na huo muonekano ni sawa?