stev30sudi
Member
- Feb 3, 2012
- 48
- 18
RETIREEES ASSOCIATION OF TANZANIA (REAT)
1.Umoja wa Wastaafu Tanzania ni Jumuiya ya kiraia iliyosajiliwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi tarehe 14/3/2022 na kupewa
Na. ya SA 22924
Makao Makuu ya REAT yako Jijini Dar Es Salaam Wilaya ya Ilala .
2.Ni Umoja kwa Mstaafu yeyote anaepokea Pension kila mwezi kutoka Hazina, PSSSF na NSSF
3.MALENGO YA KUANZISHA UMOJA
i.Kuwaunganisha Wastaafu wote Tanzania Bara
ii.Kuwasemea Wastaafu
iii.Kuwa jukwaa la Wastaafu kuelezea changamoto zao kwa Serikali na wadau wengineo
iv.Kuwa chanzo cha taarifa , elimu na maarifa ya fedha , ujasiriamali na uanzishaji / uendeshaji wa miradi mbalimbali
4.KIINGILIO NA ADA YA UANACHAMA/ UMOJA
Kiingilio ni Tshs 6000/ Ada Tshs 2000/ sawa na Tshs 24,000/= kwa mwaka jumla Tshs
30,000/= zinalipwa kwenye akaunti ya Benki ya NMB Na ya akaunti 23710023174
Jina la Akaunti RETIREES ASSOCIATION OF TANZANIA (REAT )
5.Ukishalipa Benki tuma Slip ya Benk kwenye Na yangu 0784837809 & 0754837809
risti yako utumiwa kwa njia ya mtandao
6.Shughuli za Wastaafu zinafanyika Bwalo la Polisi Shinyanga kuanzia saa 3 hadi saa 7 mchana kila siku kwa mwezi mmoja baada ya hapo utaratibu mpya utatolewa
7.Kama una madai njoo na vielelezo vyako
1.Umoja wa Wastaafu Tanzania ni Jumuiya ya kiraia iliyosajiliwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi tarehe 14/3/2022 na kupewa
Na. ya SA 22924
Makao Makuu ya REAT yako Jijini Dar Es Salaam Wilaya ya Ilala .
2.Ni Umoja kwa Mstaafu yeyote anaepokea Pension kila mwezi kutoka Hazina, PSSSF na NSSF
3.MALENGO YA KUANZISHA UMOJA
i.Kuwaunganisha Wastaafu wote Tanzania Bara
ii.Kuwasemea Wastaafu
iii.Kuwa jukwaa la Wastaafu kuelezea changamoto zao kwa Serikali na wadau wengineo
iv.Kuwa chanzo cha taarifa , elimu na maarifa ya fedha , ujasiriamali na uanzishaji / uendeshaji wa miradi mbalimbali
4.KIINGILIO NA ADA YA UANACHAMA/ UMOJA
Kiingilio ni Tshs 6000/ Ada Tshs 2000/ sawa na Tshs 24,000/= kwa mwaka jumla Tshs
30,000/= zinalipwa kwenye akaunti ya Benki ya NMB Na ya akaunti 23710023174
Jina la Akaunti RETIREES ASSOCIATION OF TANZANIA (REAT )
5.Ukishalipa Benki tuma Slip ya Benk kwenye Na yangu 0784837809 & 0754837809
risti yako utumiwa kwa njia ya mtandao
6.Shughuli za Wastaafu zinafanyika Bwalo la Polisi Shinyanga kuanzia saa 3 hadi saa 7 mchana kila siku kwa mwezi mmoja baada ya hapo utaratibu mpya utatolewa
7.Kama una madai njoo na vielelezo vyako