Msiyiiiiii hakunaga watu wanafiki kama viongozi wa dini apa nchini. Nikupongeza tu mbona amjawahi ata shauli. Kibiti, ikwiriri watu wanakufa mpo kimya, mikataba mibovu mpo kimya, ukosefu wa ajira kwa vijana kimya bunge live mpo kimya, kuna mambo mengi ya kuishauli serikali mnakaa kupanga mda kufanya upuuzi ninyi ni viongozi wa matumbo na maslai viongozi wa dini hua awaogopi kesema ukweli ata kama niserikali mkafie mbele. Njaa zinawasumbua