Fact... but kidogo unakuja kwakuwa ni maono yako ila kama we sio Ccm utanijibu. Tatizo sio mfumo, Tatizo ni waongoza mfumo... Viongozi wako na Tamaa sio viongozi wa cha tawala au vyama pinzani hakuna kiongozi atakuja kukuletea maendeleo kwako we fanya kazi acha utumwa. Siasa ni mchezo mchafu kila mtu anajali familia yake so endelea kupambana tushaachana na siasa.