Majemedari wa Umoja mpya wa Vijana CCM (UMVCCM) sasa kutikisa nchi, katika harakati ya kukikomboa chama kutoka katika Mikono ya Mafisadi. Kwasasa mipango kabambe ya kukirudisha chama mikononi mwa Wakulima na Wafanyakazi inaendelea kufanywa na majemedari wa Vita ndani ya chama. Kwasasa tunakwenda kuanza na Kampeni ya Ondoa Mafisadi CCM (OMC) ambayo itahakikisha viongozi wote wacghafu ndani ya Chama wanatengwa na kundi la wana CCM wasafi wanaonga mkono vuguvugu jipya la mabadiliko ndani ya Chama.
Wananchi wameshakuwa na imani na vuguvugu la mabadiliko ndani ya chama litakalo ongozwa na UMVCCM kwani hatua moja kuu ambayo inakwenda kupigwa ni wana CCM mabadiliko ni pamoja;
1. Kuandaa katiba Mpya cha Chama cha mapinduzi - Halisi ambayo
2. Wanavuvugu kutohama chama bali kupigania mabadiliko ndani ya chama
3. Kuhamasisha wanachama na wasio wanachama kujiunga na vuguvugu la mabadiliko ili kuikumboa nchi inayoelekea kugawanywa vipande vipande na kundi la CCM Mafisadi na Chadema matapeli
4.kuweka mikakati madhubuti ya kuyakomboa majimbo yote yanashikilwa na CCM mafisadi na Chadema pamoja namjimbo mengine yanayoshikiliwa na upinzani
5.Kurudisha Imani ya wazanzibari wote na kukitikomeza kabisa chama cha Kiarabu CUF huko visiwani
6. Kuzima kwa nguvu ya hoja harakati zote za matepeli chadema na M4C
Note Harakati hizo zote zitafanywa na wanavuvugu na watanzania wote wapenda amani na maendeleo pasipo kuhama chama bali CCM Mafisadi watajitenga na kupisha wenyewe kulingana
Sasa kazi ndo kwanza inaanza
Mabadiliko mapya yanakwenda kukifanya chama cha mapinduzi kuwa halisi zaidi na kumjali mwananchi mnyonge
Wananchi wameshakuwa na imani na vuguvugu la mabadiliko ndani ya chama litakalo ongozwa na UMVCCM kwani hatua moja kuu ambayo inakwenda kupigwa ni wana CCM mabadiliko ni pamoja;
1. Kuandaa katiba Mpya cha Chama cha mapinduzi - Halisi ambayo
2. Wanavuvugu kutohama chama bali kupigania mabadiliko ndani ya chama
3. Kuhamasisha wanachama na wasio wanachama kujiunga na vuguvugu la mabadiliko ili kuikumboa nchi inayoelekea kugawanywa vipande vipande na kundi la CCM Mafisadi na Chadema matapeli
4.kuweka mikakati madhubuti ya kuyakomboa majimbo yote yanashikilwa na CCM mafisadi na Chadema pamoja namjimbo mengine yanayoshikiliwa na upinzani
5.Kurudisha Imani ya wazanzibari wote na kukitikomeza kabisa chama cha Kiarabu CUF huko visiwani
6. Kuzima kwa nguvu ya hoja harakati zote za matepeli chadema na M4C
Note Harakati hizo zote zitafanywa na wanavuvugu na watanzania wote wapenda amani na maendeleo pasipo kuhama chama bali CCM Mafisadi watajitenga na kupisha wenyewe kulingana
Sasa kazi ndo kwanza inaanza
Mabadiliko mapya yanakwenda kukifanya chama cha mapinduzi kuwa halisi zaidi na kumjali mwananchi mnyonge