Baada ya Ummy Mwalimu baada ya Jina lake kukatwa kwe Ubunge Tanga Mjini, amesema ni wakati wa kumuunga Mkono Kassim Amar Mbaraka (Makubel) na kumpa kura za ndio Rais Samia
Baada ya Ummy Mwalimu baada ya Jina lake kukatwa kwe Ubunge Tanga Mjini, amesema ni wakati wa kumuunga Mkono Kassim Amar Mbaraka (Makubel) na kumpa kura za ndio Rais Samia
Roho inamuuma Sana, Chama tawala lazima kizingatie maoni ya wananchi , mtuanapigiwa kura harafu una mkata huo ni ukatiri mbaya sana basi pasiwepo kura ya maoni . Mtu anakubali shingo upande yaani afanyeje, hio sio haki