Peter Dafi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 392
- 272
UJUMBE WA MH WAZIRI WA AFYA MH UMMY MWALIMU KWA WATANZANIA WOTE JUU YA SIKU YA AROBAINI YA MZAZI WAKE.
"Ndugu zangu, napenda kuwafahamisha kuhusu "Arubaini" ya Marehemu baba yangu Mzee M.A Mwalimu itakayofanyika nyumbani kwetu, kijiji cha Mchukuuni, nje kidogo ya Jiji la Tanga Siku ya Jumamosi tar 26 March. Tutaanza na Hakiki (Dua ya kumuombea Marehemu) saa 2 asubuhi ikifuatiwa na Tahateem (kuhitimisha) saa 6 hadi 8 mchana. Karibuni sana hasa kwa ambao mtakuwa Tanga." Amesema Mh Waziri wa Afya Ummy Mwalimu.
Pia Ametukumbusha Ujumbe mzito wa Mungu!
"O our Lord! cover (us) with Thy Forgiveness - me, my parents, and (all) Believers, on the Day that the Reckoning will be established! [Ibraheem: 41]
Roho za Marehemu wote Zipumzike kwa Amani. Amina.....!
"Ndugu zangu, napenda kuwafahamisha kuhusu "Arubaini" ya Marehemu baba yangu Mzee M.A Mwalimu itakayofanyika nyumbani kwetu, kijiji cha Mchukuuni, nje kidogo ya Jiji la Tanga Siku ya Jumamosi tar 26 March. Tutaanza na Hakiki (Dua ya kumuombea Marehemu) saa 2 asubuhi ikifuatiwa na Tahateem (kuhitimisha) saa 6 hadi 8 mchana. Karibuni sana hasa kwa ambao mtakuwa Tanga." Amesema Mh Waziri wa Afya Ummy Mwalimu.
Pia Ametukumbusha Ujumbe mzito wa Mungu!
"O our Lord! cover (us) with Thy Forgiveness - me, my parents, and (all) Believers, on the Day that the Reckoning will be established! [Ibraheem: 41]
Roho za Marehemu wote Zipumzike kwa Amani. Amina.....!