Ummy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi
Tanga kubwa kaka.Mbona wajumbe walimpitisha kwa kishindo.Sema kosa lake ni kuvuja kwa mazungumzo yake akimsimanga mjukuu wa mtume(tofauti na hapo bungeni alikuwa anarudi vizuri tu)
Tanga kubwa kaka.Mbona wajumbe walimpitisha kwa kishindo.Sema kosa lake ni kuvuja kwa mazungumzo yake akimsimanga mjukuu wa mtume(tofauti na hapo bungeni alikuwa anarudi vizuri tu)
kamati kuu ndio wenye sauti ya mwisho kwenye chama, nadhani malalamiko ya madudu aliyoyafanya huko kwa wajumbe yamefika kamati kuu na wameyafanyia kazi!
Ummy amekatwa kwa kukataa kumuinamia Malikia . Mama alijua Ummy hamuheshimu kama kiongozi ndani yake kama ilivyokuwa kwa Magufuli. Tatizo lake halikuwa utendaji bali ni kisasi