Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Heshima mbele!
Naomba kujua mtu kama alikua CCM akaamua kuhamia CUF je ni lazima ile kadi irudishe?au ni mali yake au anaweza hata kuitupilia mbali au sheria ikoje kwenye umiliki wa kadi.
Naomba kujua mtu kama alikua CCM akaamua kuhamia CUF je ni lazima ile kadi irudishe?au ni mali yake au anaweza hata kuitupilia mbali au sheria ikoje kwenye umiliki wa kadi.