Umewahi piga/pigwa chabo katika faragha

Umewahi piga/pigwa chabo katika faragha

Wakati nmepanga Mlalakua uswazi kidogo, kuna siku nilikua napiga game mida ya saa 6 usiku afu upande wa dirishani kuna kichochoro, girlfriend wangu alikua anapiga sana kelele siku hiyo na kiukweli nilikua nimemkunja haswa, sasa jamaa mmoja alikua anakatiza, pazia langu lilikua mm naweza kuona kivuli cha mtu wa nje ila yeye haoni ndani, ukizingatia nyumba nyingi za uswazi madirisha ni wavu tu, sasa kutokana na zile kelele nikaona jamaa kapiga brake ghafla, akaanza kurudi kwenye dirisha, kwanza akatulia kusikilizia audio, ilivyomnogea nikaona kainama chini kuibuka ana kijiti anachokonoa pazia ili apate picha live, nikamwambia 'we fala" akatoka nduki sana, kesho yake nakutana nae ananilaumu kwa nini nilimfukuza, kumbe usiku ule alienda kutafuta malaya hahahaha.
Hahahaha hii ilinikuta Kimara Baruti Guest House jamaa walikuwa wananila chabo kwa kufunua pazia na kijiti
 
Hii ni hatari kudaadeki
Mwaka 2000 Mabibo jamaa yangu Suma tumetoka kuangalia mpira pale uwanja wa Kinesi nyuma ya flats za NHC Urafiki mida ya saa19:00 usiku tunakatiza chocho za Tip Top tukatokee Angle kisha Mpakani ili tufike kwetu tupo na madogo wenzetu watatu {kipindi hiko mdogo ndo najifunza uhuni} basi mara tumekatiza nyuma ya ukuta wa guest ya Mrina sasa mle ndani wanatumia hizi fan za stand basi mara ikipuliza pazia bwana,dogo mmoja akawa ameganda pale dirishani sisi tunajiuliza nini huyu anachochungulia?

Suma alikuwa muhuni muhuni hivi mara akanivuta mkono twende,kufika kumbe mle ndani kuna jamaa anamkunja mtu basi nasi tumeganda pale show yenyewe nakumbuka ilikuwa inapigwa kilevi levi sasa si wakataka kubadilisha style....ah ah ah ah kumbe mama'ake Suma ndo alikuwa amekunjwa {alikuwaga anauza gongo} na hapo Suma alikuwa ameshakisimamisha,dah mshkaji kama alivyokuwa amesimama alishuka hivyo hivyo mpaka chini akawa amesimamia magoti sasa wale madogo wengine basi hata kuacha kuangalia hawataki dah hapo kichwa kinanizunguka nishamuona mama wa mshkaji anapigwa mjengo dah nikaropokwa oya nyie wajinga mgambo hao wanakuja huko ndani nasikia jamaa linaguna sijui ndo lilikuwa linamwaga mambo huku mama wa mshkaji anasema wewe kuna watu wanatuchungulia,asikwambie mtu wakuu ile ilikuwa picha moja mbaya sana kuiona dogo Suma hakuweza hata kutembea tulifanya kuburuza.

Hii kitu isikutokee aisee
 
Noma mkuu hakuweza kutembea miguu ilikuwa mizito tukabeba huku na huku mpaka kwao,na hii ilimfanya kadri alivyokuwa anakua akawa hata hamuheshimu tena mama yake.

Na toka siku hiyo nikaacha ujinga huo.
Aisee...Kwa hiyoo nyie mkazidi kupiga chaboo???
 
Nakumbuka nilipanga kwa dharura kama miezi sita hivi maeneo ya kurasini, na kwenye hiyo nyumba alikuwepo mfanyakazi mwenzangu pia walikuwepo wapangaji kutoka nchini Rwanda ambao walikuwa wakikaa pale kusubiria kupakia mizigo bandarini.

Siku moja bhana nikatimba na demu wangu mmoja hivi toto la kichaga mwili mkubwa halafu kaenda hewa kimtindo, niliwakuta jamaa pale tukawasalimia tukazama zetu ndani.

Nafikiri walijiuliza huyu mshikaji na hili dude ataliweza kweli? Sasa kutaka kujiridhisha na swali lao ndio ikapelekea kuja kunipiga chabo.

Nakumbuka nilikuwa napiga ile style ya mkasi sasa nataka kubadili nipige style yangu matata sana TAKEU,nikahisi kitu ile kuangalia dirishani mda huo liko wazi nakuta jamaa anacheki burudani mara akatoweka.

Kesho yake nikamwambia mfayakazi mwenzangu night kuna watu walikuwa wananipiga chabo, "jamaa akaniambia nimewasikia wanyarwanda wakihadithiana kwamba jamaa ni munoma, jamaa anakata mauno ni hatari, watz ni wanajua kutohombana" kumbe ni wewe hahahaha akanicheka eti.
 
Mwaka 2000 Mabibo jamaa yangu Suma tumetoka kuangalia mpira pale uwanja wa Kinesi nyuma ya flats za NHC Urafiki mida ya saa19:00 usiku tunakatiza chocho za Tip Top tukatokee Angle kisha Mpakani ili tufike kwetu tupo na madogo wenzetu watatu {kipindi hiko mdogo ndo najifunza uhuni} basi mara tumekatiza nyuma ya ukuta wa guest ya Mrina sasa mle ndani wanatumia hizi fan za stand basi mara ikipuliza pazia bwana,dogo mmoja akawa ameganda pale dirishani sisi tunajiuliza nini huyu anachochungulia?

Suma alikuwa muhuni muhuni hivi mara akanivuta mkono twende,kufika kumbe mle ndani kuna jamaa anamkunja mtu basi nasi tumeganda pale show yenyewe nakumbuka ilikuwa inapigwa kilevi levi sasa si wakataka kubadilisha style....ah ah ah ah kumbe mama'ake Suma ndo alikuwa amekunjwa {alikuwaga anauza gongo} na hapo Suma alikuwa ameshakisimamisha,dah mshkaji kama alivyokuwa amesimama alishuka hivyo hivyo mpaka chini akawa amesimamia magoti sasa wale madogo wengine basi hata kuacha kuangalia hawataki dah hapo kichwa kinanizunguka nishamuona mama wa mshkaji anapigwa mjengo dah nikaropokwa oya nyie wajinga mgambo hao wanakuja huko ndani nasikia jamaa linaguna sijui ndo lilikuwa linamwaga mambo huku mama wa mshkaji anasema wewe kuna watu wanatuchungulia,asikwambie mtu wakuu ile ilikuwa picha moja mbaya sana kuiona dogo Suma hakuweza hata kutembea tulifanya kuburuza.

Hii kitu isikutokee aisee
Hahaha nimemuonea huruma suma
 
Nilishawahi mchezeshea spoko ya jicho mzee fulani kwasababu hizihizi za kutaka kula MP4 tena HD through ZE WINDO bila hata kiingilio..
Mpaka leo anakula Sun shades.
Ulizinguaa...ungeachaa tuu
 
Shuleni nilikodolea macho mdada kawekwa kwenye viti vya chuma anapewa haki yake .
Mara kuinamishwa kama nini sasa naona kama movie maana sikuwahi kufanyaga hivyo.
Anyways kidogo kumbe sio mimi tu nilikuwa na piga chabo ni mimi na mwalimu wa zamu.
Nilijuaje baada ya kuridhika kuiona movie ile kugeuka tukagongana vichwa na ikabidi kukaa wote chini huku tukichekeana.
Na baada yakuwa enjoy akawapa adhabu .
Ila nilicheka sana hiyo siku.
 
Wakati nmepanga Mlalakua uswazi kidogo, kuna siku nilikua napiga game mida ya saa 6 usiku afu upande wa dirishani kuna kichochoro, girlfriend wangu alikua anapiga sana kelele siku hiyo na kiukweli nilikua nimemkunja haswa, sasa jamaa mmoja alikua anakatiza, pazia langu lilikua mm naweza kuona kivuli cha mtu wa nje ila yeye haoni ndani, ukizingatia nyumba nyingi za uswazi madirisha ni wavu tu, sasa kutokana na zile kelele nikaona jamaa kapiga brake ghafla, akaanza kurudi kwenye dirisha, kwanza akatulia kusikilizia audio, ilivyomnogea nikaona kainama chini kuibuka ana kijiti anachokonoa pazia ili apate picha live, nikamwambia 'we fala" akatoka nduki sana, kesho yake nakutana nae ananilaumu kwa nini nilimfukuza, kumbe usiku ule alienda kutafuta malaya hahahaha.
 
Kuna siku mume wangu karudi mchana kutoka ofisini, nikataka game. Kuingia chumbani tumezidiwa namkatikia kiuno kwa juu kumbe tumesahau kuloki mlango.

Mwanangu Debora katoka shule huyooo mpaka chumbani kwetu alijua hakuna mtu sijui. Paaa watu tuko uchi wa mnyama.

Mie hata sikujua sababu ya utamu wa kukatikia ukuni, mume wangu akaja kunianbia kesho yake. Niliona aibu sana kumwangalia mwanangu.

Hapo ilikua mwaka jana wakati anamaliza darasa la nne. Sijui kama alielewa chochote.
alielewa kila kitu watoto wa siku hizi shda aisee
 
Daah..! nmekumbuka mbali sana..! Huku uswazi kuna mambo sana..! Jirani yangu msela kama mie alikuwa kila baada ya week analeta demu mpya. Mie namwangalia tu. Siku ya siku mida ya saa nane usiku nipo naangalia zangu muvi kamkojo sikakanibana bana..!
Ile natoka nje napita mlangoni kwake naskia kilio kutoka kwa mtoto wa kike. Nikasema nini hiki?! Inamaana jirani anampiga makofi huyu demu?! Nikapotezea Nikaenda kukojoa. Wakati narudi bana naskia sauti ndo kwanza imezidi..!
Nikasema nikiwaacha hawa zitakuwa dharau. Uzuri ni kwamba nyumba tunayokaa madirisha yetu yamekaa uchochoroni ambapo hakuna njia and so kama ukienda huko hakuna wakukusumbua. Basi kidume nikaenda nyuma kule kwenye dirisha lake. Nakuta kipanzia kinapepea kwa feni..! So sikuwa na haja hata ya kutafuta kijiti. Nikatafuta kistuli nikakaa chini taratibu nakula chabo. Kilichonichosha sasa, jamaa alikuwa anakula sanvu la kopo (umber ruty) nilichoshangaa pamoja na kilio cha demu bado alikuwa anakatika kiuno sijapata kuona..!
Toka siku hiyo nikiona kaja na demu tu mie muvi haiangaliki. Nawasubiri ikifika kuanzia saa 5 tu. Mie huyooo dirishani kwenda kula tv ya bure.
JF kwa kweli ni Stress Free Zone..
 
Chabo tena hapo haikupigika mkuu akili ili-stuck maana huyo maza nilikuwa namuheshimu kinoma then Suma nae amedondoka chini amejiegemeza na ukuta nikaona balaa gani hili!

Wengine waliendelea kupiga chabo mpaka nilipowatishia migambo.
Mama suma hakujuaa mwanae amemuonaa au hadi Leo hajajua????
 
Jamaa alikua ana tabia akifanya mapenzi na Mke wake raha ikimkolea anapiga makelele mpaka majirani wasikia.
Siku moja jirani yake Mzee Hamisi akamwambia hivyo unavyo fanya ni makosa na ni aibu sana.
Watu wote wanajua wewe na mkeo munafanya nini· Jamaa akajibidiisha kwa siku mbili hakupiga kelele.
Siku ya tatu hakuweza kustahmili kwa raha akaanza kupiga kelele "Aaaah, mzee Hamisi nisamehe lakini tamu sanaaaa, Mzee Hamisi...... aaaaaaaah, nisamehe nitamaliza sasa hiviii, aaaah!.

Mzee Hamisi akafungua dirisha akawambia

"Kumamayo piga kelele utakavyo lakini usitaje jina langu majirani wataona unanifira mimi"
 
Back
Top Bottom