sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,061
Wewe upo kada ya ualimu?kuna kipindi flani nikiwa mtaani baada ya kumaliza chuo nilipewa connection sehem ya kujishikiza kampuni binafsi mshahara laki 2, yani kulikuwa na huyo msimamizi wetu wa kazi mbae alienisimamia kero tupu, hakuweza kuona lolote zuri nalofanya hata nipige kazi kwa bidii namna gani.
alikuwa ana lugha kali sana lakini bado hakuwahi kuitumia kwangu maana nilifanya kazi kwa uadilifu, sasa kuna siku moja muda wa lunch nilichelewa kufika kazini kama kwa dakika 10 hivi, nilimkuta msimamizi akiwa ananisubiria mlangoni na amenipania si mchezo.
akaanza kunigombeza na kunitolea lugha chafu, alintukana tusi moja zito kidogo lililonifanya nimrudishie fadhila, nilimpiga bonge la kibao,, paaaaa!!! kimyaaaa, vimaneno maneno vyote vimemwishia!! muda huu wote niliwasha voice recorder ya kwenye simu yangu.
tuliitwa ofisini kwa meneja nikamruhusu yeye kwanza aanze kuongea, basi akaanza kutia chumvi kwamba wala hakunitukana ila nimempiga, mimi mda wa kujitetea nili weka simu mezani nika play kilichorekodiwa ile lugha yake ya kunigombeza, tusi na kibao matata nilichomnasa.
Yule msimamizi alisimamishwa kazi mwezi mzima, mimi nilifanya kazi mpaka nilpopokea mshahara wa mwezi huo nikandoka ili kuepusha makubwa ambayo yangetokea endapo angerudi, nilikuja kuambiwa kwamba alishushwa cheo.
nilirudi kitaa kuhaso, baada ya miezi kama minne niliajiriwa rasmi serikalini, kuna siku nikiwa kwenye gari yangu nilimuona, nilimpigia honi nikampungia mkono huku nikitabasamu
kuna utofauti mkunwa kati ya mke na ngumbaru kama hawa wanaojikutaga miungu mtuEndelea kuwa na mkono mwepesi, siku utamzabua mkweo,
I need n love you mom. I am seriousEndelea kuwa na mkono mwepesi, siku utamzabua mkweo,
Tulia wewe hapa tunazungumzia ma boss wakwe hawahusiki hapa.Endelea kuwa na mkono mwepesi, siku utamzabua mkweo,
heeeee, haya natuliaTulia wewe hapa tunazungumzia ma boss wakwe hawahusiki hapa.
Chai online siku ipitekuna kipindi flani nikiwa mtaani baada ya kumaliza chuo nilipewa connection sehem ya kujishikiza kampuni binafsi mshahara laki 2, yani kulikuwa na huyo msimamizi wetu wa kazi mbae alienisimamia kero tupu, hakuweza kuona lolote zuri nalofanya hata nipige kazi kwa bidii namna gani.
alikuwa ana lugha kali sana lakini bado hakuwahi kuitumia kwangu maana nilifanya kazi kwa uadilifu, sasa kuna siku moja muda wa lunch nilichelewa kufika kazini kama kwa dakika 10 hivi, nilimkuta msimamizi akiwa ananisubiria mlangoni na amenipania si mchezo.
akaanza kunigombeza na kunitolea lugha chafu, alintukana tusi moja zito kidogo lililonifanya nimrudishie fadhila, nilimpiga bonge la kibao,, paaaaa!!! kimyaaaa, vimaneno maneno vyote vimemwishia!! muda huu wote niliwasha voice recorder ya kwenye simu yangu.
tuliitwa ofisini kwa meneja nikamruhusu yeye kwanza aanze kuongea, basi akaanza kutia chumvi kwamba wala hakunitukana ila nimempiga, mimi mda wa kujitetea nili weka simu mezani nika play kilichorekodiwa ile lugha yake ya kunigombeza, tusi na kibao matata nilichomnasa.
Yule msimamizi alisimamishwa kazi mwezi mzima, mimi nilifanya kazi mpaka nilpopokea mshahara wa mwezi huo nikandoka ili kuepusha makubwa ambayo yangetokea endapo angerudi, nilikuja kuambiwa kwamba alishushwa cheo.
nilirudi kitaa kuhaso, baada ya miezi kama minne niliajiriwa rasmi serikalini, kuna siku nikiwa kwenye gari yangu nilimuona, nilimpigia honi nikampungia mkono huku nikitabasamu
Vizuri uwe mtoto mzuri.heeeee, haya natulia
I beg your pardon pleaseI need n love you mom. I am serious
Tulia nipate babu yako oopsVizuri uwe mtoto mzuri.
Jidanganye uingie mkenge ndo utajua hujui! Na najua kwenye huu uzi zipo kenge zitaenda kupiga boss zao hapo ndo wataelewa kenge alieingia mkenge ni nini..😂Tulia nipate babu yako oops
komaziiiiJidanganye uingie mkenge ndo utajua hujui! Na najua kwenye huu uzi zipo kenge zitaenda kupiga boss zao hapo ndo wataelewa kenge alieingia mkenge ni nini..
Sawazii utaliazii ukipigwazii nakituzii kizitozii kwenye sogoziii..😂komaziiii
Nimekoma mjukuu, sitaki kuwa asiyesikia la mkuuSawazii utaliazii ukipigwazii nakituzii kizitozii kwenye sogoziii..