Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
unamchukia sababu una mhisi vibaya
so hisia zako zikiwa wrong chuki itakwisha
Kweli mdau maana hata katika maisha ya kawaida tu kama umeingia sehemu kwa chuki na kumpinga mtu hata kama ataingea point huwezi kuzisikia kwa kuwa tayari ulikuwa umejiweka katika pozi la kupinga