Duh pole
Macho yaliona yakapeleka kwenye ubongo kuuliza hiki naona ni sawa?
Ubongo ukasema kimbia utasababisha mauaji.
Nikautii ubongo, nikatoka mbioo, kufika nyumbani akili ikaniambia umefumania bila kudhamiria wala kutarajia.
Chakufanya futa hiyo kumbukumbu kisha endelea mbele, akijirudi kubembeleza muendelee usikubali katuu sababu ile picha itajirudia kwenye ubongo nawe bila kutarajia utaanza kujawa na hasira kisha chuki na kitachofata ni hatari zaidi.
Nilishuhudia aliyekuwa mpenz wangu akimgegeda aliyenitambulisha kuwa ni family friend wao. Tangu hapo sijashuhudia tena watu wakigegedana zaidi ya bata.
Kasie Matata.