hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
HahaaaNilishuhudia ..tulikuwa Mimi na rafiki yangu alikuwa anakaa kwa Kaka ake..siku hiyo tumetoka shule tukaelekea kwao..tumefika jiii...tukavua viatu nje tumeingia ndani hamadiii..kaka ake na wifi yake wanakulana sebuleni kwenye Kochi..lahaulaah!!!!...aibu tuliona sisi nikavaa viatu vyangu nikaenda zangu kwetu.