joshua advocate
Member
- Sep 25, 2014
- 30
- 1
nina mpenzi wangu wa kike tuna kama mwaka mmoja kwenye mapenzi na watu wengi wanasema hajatulia na mm nikajaribu kumpiga chini lakin baada ya muda mfupi nikamrudia nikampiga chini kama mara nne hv ila moyo wangu bado upo kwake na yeye ananipenda sana sasa jamani mnisaidie nifanyeje na watu wanasema hajatulia na mm kwa sehemu flan nimeshuhudia ila nampenda sana huyu binti toka moyon na kumsahau siwezi alafu tunampango wa kuishi pamoja kama mme na mke