Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Sasa misifa umetolea wapi?
Misifa gani tena? 😂 😂 😂
Huo ndio ukweli na kipindi kile JF ilikuwa ina operate virtually. Mara mbili hiyo BB alikuwa ananifuata mpaka pale Makumbusho Millennium Tower Steers tunakunywa na juice 🥤 ya bei kali sanaaa. Vijana iheshimuni hii JF imetoka mbali na watu wameumizwa na kuteseka ili JF iendelee kuwepo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…