Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,411
Nina wazo la kununua vodacom smart kitochi wakati nkijipanga kupata smartphone nyingne, kwa mliotumia vip ubora wake? Au simu gani ya batan naweza kununua isiyozidi 45 elfu?
Asante.
Asante.
Mkuu hata matangazo huwa huoni?Mm mpaka leo sizijui hizo smart kitochi huwezi amini.
Vinaganda sana.achana navyo mkuuNina wazo la kununua vodacom smart kitochi wakati nkijipanga kupata smartphone nyingne, kwa mliotumia vip ubora wake? Au simu gani ya batan naweza kununua isiyozidi 45 elfu?
Asante.
Changu kilikuwa mpaka kinaonesha mchelemchele ule kama wa kwenye TvHivyo vinazimaga vyenyewe tu.ninacho cha tigo kimestak sasa miezi 7.

Kama upo busy kulinda legacy ya mwendazake utajulia wapi mambo ya smart kitoch?Mm mpaka leo sizijui hizo smart kitochi huwezi amini.
Tupo sawa mkuu, hata mimi sijawahi kuona hizo simu.Mm mpaka leo sizijui hizo smart kitochi huwezi amini.
Zina vioo delicate kupita maelezo na kwa excessive uses betri inavimba. ni nzuri kwa matumizi kama modemNina wazo la kununua vodacom smart kitochi wakati nkijipanga kupata smartphone nyingne, kwa mliotumia vip ubora wake? Au simu gani ya batan naweza kununua isiyozidi 45 elfu?
Asante.