Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 604
- 976
Hii ilinikumba 2016, nikiwa chuga! Huyu dogo nilimwopoa through Social Media tukajenga mazoea coz tulikuwa tunachat daily! Nikampanga weekend tukakutana town, tukakaa somewhere akala viepe yai akapiga soda!
Nikampa 20,000/= akalipie logde kisha anishtue through simu! Ilikiwa jirani na location tuliyokuwepo! Nikamsubiri dakika 20 nikaona kimya kumpigia hapatikani! Nikajua nimeliwa!!
Hebu tupe mkasa wako ulikuwaje!?
Nikampa 20,000/= akalipie logde kisha anishtue through simu! Ilikiwa jirani na location tuliyokuwepo! Nikamsubiri dakika 20 nikaona kimya kumpigia hapatikani! Nikajua nimeliwa!!
Hebu tupe mkasa wako ulikuwaje!?
