Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,524
- 4,276
Hii social network huwa wanapost mara nyingi nafasi mbalimbali za kazi pamoja na namna ya kutuma maombi ikiwa ni pamoja na "Easy Apply". Lakini cha kushangaza tangu nianze kutuma maombi sijawahi kuitwa, mpaka najiuliza huenda ni scams tu.
Labda niulize wenzangu vipi kuna yeyote aliyefanikiwa kupata kazi kupitia jukwaa hili?
Labda niulize wenzangu vipi kuna yeyote aliyefanikiwa kupata kazi kupitia jukwaa hili?