Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,920
- 8,538
Ila kibongo bongo kuongelea kifo ni uchuro.
Teknolojia ni Yetu sote
Teknolojia ni Yetu sote
Sawa mpwaAsante sana ndugu kwa somo zuri , kuna ujumbe wako PM

Ila kibongo bongo kuongelea kifo ni uchuro.
Teknolojia ni Yetu sote



inaonekana kama vile unamchulia mtu 

Hapana kwa kwelihutaki warithi waweze kurithi taarifa zako
Hakika Teknolojia ni Yetu sote ,Nimeactivate ya kwangu kwa android, kuna mahali pa kuchagua muda ambao mtu wako mrithi atapewa access ya akaunti yako. Mfano akaunti yako isipokuwa active kwa miezi 3 (naona ndio wameweka minimum) basi mrithi anataarifiwa na kuanza kutumia account yako, ambayo kimsingi ndio simu yako.
Pia kuna option ya kupanga nini unataka ndio akiaccess - unaweza mpa vitu kadhaa tu katika simu au kumpa access ya simu nzima.
Ahsante sana Teknolojia ni Yetu sote kwa somo ulilonipa.
