Umeshachagua mrithi wa simu yako?

Umeshachagua mrithi wa simu yako?

Nimeactivate ya kwangu kwa android, kuna mahali pa kuchagua muda ambao mtu wako mrithi atapewa access ya akaunti yako. Mfano akaunti yako isipokuwa active kwa miezi 3 (naona ndio wameweka minimum) basi mrithi anataarifiwa na kuanza kutumia account yako, ambayo kimsingi ndio simu yako.

Pia kuna option ya kupanga nini unataka ndio akiaccess - unaweza mpa vitu kadhaa tu katika simu au kumpa access ya simu nzima.

Ahsante sana Teknolojia ni Yetu sote kwa somo ulilonipa.
 
Nimeactivate ya kwangu kwa android, kuna mahali pa kuchagua muda ambao mtu wako mrithi atapewa access ya akaunti yako. Mfano akaunti yako isipokuwa active kwa miezi 3 (naona ndio wameweka minimum) basi mrithi anataarifiwa na kuanza kutumia account yako, ambayo kimsingi ndio simu yako.

Pia kuna option ya kupanga nini unataka ndio akiaccess - unaweza mpa vitu kadhaa tu katika simu au kumpa access ya simu nzima.

Ahsante sana Teknolojia ni Yetu sote kwa somo ulilonipa.
Hakika Teknolojia ni Yetu sote ,
 
Back
Top Bottom