CNO
Member
- May 28, 2025
- 46
- 62
Na unaichukuliaje.
Na watu wote wakiwaza hivi itakuwaje.
Je, kikundi cha watu kinawangenezea watu wengine namna ya kufikiri tokea wakiwa wadogo(mfumo) ili baadhi wa watu (mataifa) wawe salama
Au ujanja unafikiri ni kumiliki dola elf7 kwa mwezi na gari unaona mambo yako sawa tu.
Karibu.