Asilimia 99 ya waliohudhuria wamevaa barakoa, hili mliliona? Na kujiuliza kulikoni, jamii ya mabaniani ndio karibia wote wamevaa hizo barakoa na sisi tuliokoza rangi ya kiza baadhi walikuwa hawakuvaa kitu, kwenye wafanyakazi wote wamevaa?
Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.
Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?
Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.
Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.
Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?
Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.