FD,na wewe umekaa kimya muda wote huo baada ya kutokea kwa hilo suala husemi, mpaka yamemkuta shy amesema na wewe ndiyo unaleta ya kwako. Hongera kwa kumtaja jina live huyo mhusika hapa ubaoni kama kawa at JF we dare to talk openly. Kama wameaanza mchezo huo inabidi watuzimishe wote wanaJF,is difficult to win Guerilla war. How can you target all JF members all them together? Hapa we speak freely. Shy tunaomba majina yao tafadhali? na vituo ambazo vimekuwa vikitumika kuwashikilia SHY na FD