Bado niko singali..siku akipatikana wa ubavu wangu,Hakyamama tena jina nitakalomsave,ardhi na mbingu lazima vitetemeke.wewe mtoto wa mutu fanya fanya basi huko ulipo ukuje huku fasta na wewe...loh
Sisi wadada tuko hivi, mwanzoni utamuita jina lake eg john, akiongeza mapenzi ma care kibao jina linaseviwa kimahaba eg my love , asipotoa huduma jina linasebiwa eg my mpare, asipo pokea simu siku nzima, KIVURUGE
Sisi wadada tuko hivi, mwanzoni utamuita jina lake eg john, akiongeza mapenzi ma care kibao jina linaseviwa kimahaba eg my love , asipotoa huduma jina linasebiwa eg my mpare, asipo pokea simu siku nzima, KIVURUGE