Umeme wetu Masasi

Umeme wetu Masasi

Hivi gas si inatoka kwenu hapo!
Kukatikakatika kwa umeme kila mara sababu aiwezi kuwa gesi wala maji hapo ni miundo mbinu yao ni mibovu tu tanesco huko alipo,unaweza kukuta laini zao zimepita sehemu ambazo kuna miti upepo ukija tu waya zikigusana tu lazima umeme ukatike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom