Eti mvua hata ya dakika 17 tu umeme unakatwa/unakatika, hii sasa si aibu kwa Wawekezaji? Kwahiyo kipindi hiki chote cha masika tutegemee wiki3 kukaa bila umeme, ukiuliza wanasema Hakuna tatizo lolote, Tanzania sehemu yenye ukweli mtu anaficha.
Hata mi nashangaa sana kila siku umeme unakatika tokea mvua zimeanza kunyesha,sometime unakaa mpaka Massa 24haujarudi ukipiga emergence namba zote not reachable bash watuambie kama wanabiashara ya magenerator haitoki wanataka itoke tujue kuliko kukata Umeme ovyo ovyo bila taarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.