Umeme umekatika Dar?

Umeme umekatika Dar?

Samaki Singa

Senior Member
Joined
Nov 20, 2016
Posts
191
Reaction score
195
Toka saa 7.00 usiku sehemu kubwa ya Kinondoni kama sio Jiji zima la Dar halina umeme.Hatujui tatizo ni nn?
Mamlaka husika tuambieni kuna nn kimetokea?Tupo kwenye joto kali hakulaliki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi Kimara mwisho umerudi lisaa 1 lililopita.
 
Tangu saa saba nipo macho nimeshindwa kabisa kulala kwa kwa sababu ya combination ya joto na mbu!! Wenye Dar yenu mmezoea. Sie wa bara ni TABU kupita maelezo!!!
 
Toka saa 7.00 usiku sehemu kubwa ya Kinondoni kama sio Jiji zima la Dar halina umeme.Hatujui tatizo ni nn?
Mamlaka husika tuambieni kuna nn kimetokea?Tupo kwenye joto kali hakulaliki

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndo kwanza unarudi. Mi mwenyewe imebidi tu nikeshe.... Hilo la kuambiwa sababu itakuwa nyimbo(na mapambio) zile zile labda kama we ni mgeni hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom