Umeme umekatika Dar?

Umeme umekatika Dar?

Naripoti kutoka mikocheni A umeme mpaka sasa haujafika imebidi nilale milango wazi potelea wezi na mbu ila hili joto ka tunafanya mazoezi ya kwenda jehanamu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
1546055461698.png
 
aisee aamenifanya nikeshe aisee acha tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
It seems ulikatika nchi nzima.
Wakati huu nani anafukuzwa TANESCO?
 
Shida sana kulala bila umeme.
 
Back
Top Bottom