mmmmm, kama umelala peke yako.. u dont qualify for any of these! kwi kwi kwi
Awwww!
They're both qute, ila ya mwisho...
he he he he mimi huwa napenda kweli hizi post za mapenzi,naombeni kuuliza mimi nimeolewa nina miaka kama kumikwenye ndoa yangu nina mtoto mmoja,kama kawaida kuna kutokuelewana wakati mwingine kwenye ndoa kuna wakati tuliwahi kukaa miezi mitatu bila kutimiza swala la ndoa na mume wangu baada ya muda akaninunulia toy la kujitimizia mwenyewe haja zangu kama zawadi,nimeuliza kwa wana ndoa wenzangu wakasema hivyo si swa kabisa kwa nini anipe wakati yeye yupo labda tungekua tunakaa mbali mbali,kweli wana jamii hilo munalionaje mumeo upo nae ndani anakuletea hiyo zawadi wakati yeye yupo upo nae ndani na wakati huo huo muda muda mrefu hajakuudumia??unajaribu kufanya kila njia aone unaitaji hilo,hapo hapo unahisi ana uhusiano wa mapenzi na mwanake mwingine maana hata ratiba zake huzielewi mara katoka kachelewa kurudi mara hapokei simu,nisaidieni wenzangu labda naweza pata jambo kusave ndoa yangu,nampenda sana mume wangu na sitaki kumpoteza
he he he he mimi huwa napenda kweli hizi post za mapenzi,naombeni kuuliza mimi nimeolewa nina miaka kama kumikwenye ndoa yangu nina mtoto mmoja,kama kawaida kuna kutokuelewana wakati mwingine kwenye ndoa kuna wakati tuliwahi kukaa miezi mitatu bila kutimiza swala la ndoa na mume wangu baada ya muda akaninunulia toy la kujitimizia mwenyewe haja zangu kama zawadi,nimeuliza kwa wana ndoa wenzangu wakasema hivyo si swa kabisa kwa nini anipe wakati yeye yupo labda tungekua tunakaa mbali mbali,kweli wana jamii hilo munalionaje mumeo upo nae ndani anakuletea hiyo zawadi wakati yeye yupo upo nae ndani na wakati huo huo muda muda mrefu hajakuudumia??unajaribu kufanya kila njia aone unaitaji hilo,hapo hapo unahisi ana uhusiano wa mapenzi na mwanake mwingine maana hata ratiba zake huzielewi mara katoka kachelewa kurudi mara hapokei simu,nisaidieni wenzangu labda naweza pata jambo kusave ndoa yangu,nampenda sana mume wangu na sitaki kumpoteza
si mzungu,mweusi aliazaliwa ushwahilini haswa,haya mambo ya kizungu tena analeta wakati huu hakuyaleta wakati tupo wachumba maana tumekua pamoja zaidi ya miaka mitano kabla ya kuoana,Penny anafanya kazi ya kawaida na ya kueleweka si ya kuchosha kiasi hicho,ni receptionist kwenye hoteli ya kitalii
si mzungu,mweusi aliazaliwa ushwahilini haswa,haya mambo ya kizungu tena analeta wakati huu hakuyaleta wakati tupo wachumba maana tumekua pamoja zaidi ya miaka mitano kabla ya kuoana,Penny anafanya kazi ya kawaida na ya kueleweka si ya kuchosha kiasi hicho,ni receptionist kwenye hoteli ya kitalii
Belinda asante mwenzangu naipenda sana ndoa yangu,na ninampenda sana sana mume wangu kwa moyo wangu wote,sitaki kuipoteza,sikumuliza kwa sababu gani amenipa maana nilishangaa na kukasirika ila sikutaka kumuuzi na nilikua na ukame nikadhani labda ushamba wangu niulize kwanza japo niliumia sana sana,mpaka hii leo sijamuliza maana nilijaribu kutumia mwenyewe siku hiyo nilipata feelings lakini siku enjoy kama kitu halisi,
Hee, makubwa basi kakuchoka huyo, kwa nini akuletee toy! kwani yake haifanyi kazi. Duh, ingekuwa mimi...angejutaaaaa kunifahamu! ningelikuwa na wangu tayari wa kuniburudishaaaaah! kwa nini nijisumbue my head while life is too short.
Pole sana dada, hupo peke yako tuko wengi tuu wa aina yako. Pengine nikuulize tuu. Kazi yake nini hasa...ukishindwa nijibu hapa ingia kwenye PM tulonge zaidi.
Hee, makubwa basi kakuchoka huyo, kwa nini akuletee toy! kwani yake haifanyi kazi. Duh, ingekuwa mimi...angejutaaaaa kunifahamu! ningelikuwa na wangu tayari wa kuniburudishaaaaah! kwa nini nijisumbue my head while life is too short.