Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 1,612
- 2,602
Simba ni sawa na Shilole! Ananunua pete mwenyewe anampa mwanaume amvalishe halafu anachekelea!!!
Timu zotezilijitahidi kuficha mbinu zake halikadhalika Simba.Nimegundua wapinzani wameficha mbinu zao kuogopwa kusomwa na wapinzani wao kwenye grp stage. Simba kama jina mbumbumbu fc wameziweka zote wazi cheza na alama za nyakat mtani. Ngoja wenyewe wakaje toka kwa nchi ya falao jitu katiri wakaje kukupubiza nyingi
Hii shahawa Bora Baba yako angepiga punyeto tuuPaka fc mwaka huu hamtatoka na point ata moja kwenye makundi
1.wanasimba wameichoka timu yao. Simba. Sio kwenye ligi au Hilo bonanza hakuna washabiki wakutosha Kama misimu miwili ilopita
2.uongozi wa Simba ungezialika tu timu hizi lakini kusema Kuna "super cup" hicho ni kichekesho tu Ili mtu apewe kombe walau acheze mechi 3.
3.Yanga Ndio timu yenye mashabiki wengi zaidi Tanzania, pia Yanga wanajua kupromote vitu vyao. Simba haijui promosheni tena wasithubutu kumwacha Mabara, anafanya kazi kubwa Sana, angekuwa mwingine Hawezi kabisa.
Mtatetea labda ubingwa wa Mabonanza! Bingwa wa mwaka huu tayari anajulikana. Na hata huko kwenye makundi, sidhani kama mtafika kokote.Simba watatetea ubingwa wa ligi na wa FA.
club bingwa watakomea robo fainali kama ilivyokuwa msimu wa 2018/2019
okaya muda muda utazungumza.Mtatetea labda ubingwa wa Mabonanza! Bingwa wa mwaka huu tayari anajulikana. Na hata huko kwenye makundi, sidhani kama mtafika kokote.
Mtaishia tu kuwa mabingwa wa hayo mabonanza mnayo jiandalia wenyewe.
Lokosa kaachwa hajasafiri na timu kwenda SudanYule Lokosa kama Yikpe
Bado hajakidhi kuwa first elevenLokosa kaachwa hajasafiri na timu kwenda Sudan
Una roho ngumu sana. Wenzako wameshanusa harufu, wanatoa matamko kila sikuMtatetea labda ubingwa wa Mabonanza! Bingwa wa mwaka huu tayari anajulikana. Na hata huko kwenye makundi, sidhani kama mtafika kokote. Mtaishia tu kuwa mabingwa wa hayo mabonanza mnayo jiandalia wenyewe.
OK jidada livaa madelaNimegundua wapinzani wameficha mbinu zao kuogopwa kusomwa na wapinzani wao kwenye grp stage. Simba kama jina mbumbumbu fc wameziweka zote wazi cheza na alama za nyakat mtani. Ngoja wenyewe wakaje toka kwa nchi ya falao jitu katiri wakaje kukupubiza nyingi
Simba atachukua Ligi na FA.
Kilabu bingwa ,simba atafika mbali.
Simba ni wakimataifa, kwanzia leo Utopolo wasijilinganishe na Simba
Nimegundua wapinzani wameficha mbinu zao kuogopwa kusomwa na wapinzani wao kwenye grp stage. Simba kama jina mbumbumbu fc wameziweka zote wazi cheza na alama za nyakat mtani. Ngoja wenyewe wakaje toka kwa nchi ya falao jitu katiri wakaje kukupubiza nyingi
Simba ni club kubwa, hii michuano imeipromot sana Simba...
Kwa wachezaji tulionao sasa huoni tofauti ya Mazembe na Simba...tupo level moja...
Naiona simba ikifika mbali champions League...
Simba imeniuza zaidi. imekuwa moja kati ya club zinazofuatiliwa sana. Kudos CEA mrembo