Umejiandaaje kuwa Baba/mama mkwe

Umejiandaaje kuwa Baba/mama mkwe

Binafsi Huu ndiyo msimamo wangu since day one.

 
Kwa kawaida kama unapenda mahusiano yako ya ndo yadumu mkeo akikosea msemee kwao na yeye akusemee kwenu! Ila ukitaka kuharibu kila kitu peleka makosa ya mkeo kwenu! Utajenga chuki kiasi kwamba ata siku mmeelewana bado kwenu watakuwa na kinyongo! Sasa kama huyo atapeleka taarifa za uongo kwao tayari hapo ni mgogoro wa kinafsia unaanza kujengwa! Ata siku umempiga kofi tu wanaibua na ya tangu zamani!
Mabinti wengi yanayowasibu ndoani huwaambia mama zao wa kuwazaa anaamini mama yake ndio msiri wake kwa wanaume wengi hufa na tai shingoni huwa tunajihisi udhaifu kusema yanayojiri ndoani sasa kwa wamama wengi huwapendelea mabinti zao na kuamini kuwa hadi anamwambia basi yamemfika ya kweli na hadanganyi
 
Mabinti wengi yanayowasibu ndoani huwaambia mama zao wa kuwazaa anaamini mama yake ndio msiri wake kwa wanaume wengi hufa na tai shingoni huwa tunajihisi udhaifu kusema yanayojiri ndoani sasa kwa wamama wengi huwapendelea mabinti zao na kuamini kuwa hadi anamwambia basi yamemfika ya kweli na hadanganyi
Unasema kweli kabisa, ila wengi hawajui tu wanavyotengeneza sumu kwenye hizo ndoa zao, makosa madogo madogo myaongee, communication ndio inajenga mahusiano yaendelee kuimarika, tofauti na hapo bora ukae ndani ulie ukichoka unyamaze kuliko kuyapeleka nje sijui nyumbani.. utakwama!
 
Kwa kawaida kama unapenda mahusiano yako ya ndoa yadumu mkeo akikosea msemee kwao na yeye akusemee kwenu! Ila ukitaka kuharibu kila kitu peleka makosa ya mkeo kwenu! Utajenga chuki kiasi kwamba ata siku mmeelewana bado kwenu watakuwa na kinyongo! Sasa kama huyo atapeleka taarifa za uongo kwao tayari hapo ni mgogoro wa kinafsia unaanza kujengwa! Ata siku umempiga kofi tu wanaibua na ya tangu zamani!
Sheria ya kwanza wakati tunaingia kwenye mahusiano ilikuwa ugomvi wetu tunasuluhishana wenyewe wawili basi...na imekuwa hivyo miaka yote.
Huko upande wa pili ni kupeleka taarifa ya upendo na furahaa tu.
 
Kila mtu ataishi maisha yake , Mimi maisha ya kuishi kwa kufuatilia watu mzima siyataki
 
Sheria ya kwanza wakati tunaingia kwenye mahusiano ilikuwa ugomvi wetu tunasuluhishana wenyewe wawili basi...na imekuwa hivyo miaka yote.
Huko upande wa pili ni kupeleka taarifa ya upendo na furahaa tu.
Ndivyo ilivyo sa sijui wengine hawaelewagi wapi! Mtu anamsimlia mara dadaake mambo yenu ya ndani wakati yake pia huko yamemshinda!
 
Kabla hamjafika huko, hiki ndicho wanachokifanya baba na wake zenu 😹
 

Attachments

  • IMG_6273.jpeg
    IMG_6273.jpeg
    334.7 KB · Views: 5
Back
Top Bottom