Umejiandaaje kupokea ushindi wa mh. Lowassa oct 25/2015

Umejiandaaje kupokea ushindi wa mh. Lowassa oct 25/2015

OJODE

Member
Joined
Sep 19, 2015
Posts
27
Reaction score
14
Tuambiane Ndugu Mmejiandaaje Kupokea Ushindi Wa Mh. Lowassa Hapo Atakapotangazwa Kama Mshindi Wa Nafasi Ya Urais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Baada Ya Uchaguzi Wa Oct 25/2015.
 
Kumbe Ccm Wanajitekenya Wenyewe Halafu Wanacheka! Kwani Hiyo Asilimia Ya Lowassa Hata Kwa Akili Yako Finyu Unadhani Ya Kweli, Tumia Tu Akili Ya Kuzaliwa Ambayo Kila Mtu Anayo!
 
Japokua jaribuni kujiandaa kwa lolote litakalotokea, ikitokea kashindwa kwa bahat mbaya labda si watu watakufa kwa presha? Japo sina maana kwamba atashindwa.
 
Tupige kura na tulinde kura kwanza
 
Siamini katika uwezo wake kiongoza nchi kwa uadilifu hasa kutokana na matumizi yake makubwa ya fedha na njia chafu kama kutumia viongozi wa dini na rushwa ili kukuza umaarufu lkn nitakuwa mpole na kuionea huruma nchi yangu!
 
Uloi nga mâché68;14079435 said:
Lowassa atashindaje wakati ana 22% tu mpaka sasa kwa mujibu wa TWAWEZA!
Waambie TWAWEZA wafanye utafiti wa uchaguzi wa Marekani kwanza kisha ndio watuletee wa hapa kwetu tupime uwezo wao.
 
Kwa wapiga kura 1400 je hao milioni ishiri? Hata akili za kawaida huwezi kutafuta sample ya utafiti wa watu milioni 20 kwa watu 1400 nafikiri umeelewa

nchi itaripuka shangwe kubwa vijana hawatalala nyimbo kila kona
 
Lowasa hawez shinda hata kama mkiloga au mkihonga, hawez shinda kbs
 
Alienda Mtwara mate yakamtoka kwa gesi hadi kachanganyikiwa eti
 
Ccm wanadhani makelele yao na hila zao za kupika tafiti fake, zitainfluence hadi kwenye sanduku la kura. Subirini tuwanyoe wakavu wakavu. Mbona mnahaha?

Mrudisheni kwanza Yericko Nyerere, aje awaumbue hapa!.


Ila mimi kwanza NITAMSHUKURU MUNGU KWA UKOMBOZI, NA NITA IDEDICATE TANZANIA YA UKAWA KWA MUNGU AISHIYE MILELE!.

Hapo ndipo maccm na dunia nzima watakapoiona Tanzania mpya na kukiri kwamba Yuko Mimi Niko ambaye Niko Aliyekuwepo tangu mwanzo na Hatakuwa na Mwisho atawalaye Juu na kumiliki kati kati ya Wanadamu.
 
Tuambiane Ndugu Mmejiandaaje Kupokea Ushindi Wa Mh. Lowassa Hapo Atakapotangazwa Kama Mshindi Wa Nafasi Ya Urais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Baada Ya Uchaguzi Wa Oct 25/2015.

Nitashangilia sana, siku ya kuapishwa kwake nitalala uwanjani uhuru kusubiria kukuche nishuhudie jk akimkabizi nchi kwa amani
 
Back
Top Bottom